HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, February 26, 2013

Bendi ya Mapacha Watatu kuja na albam mpya ya Yarabi Nasfi

Mmoja wa Wakurugenzi wa Bendi ya Mapacha Watatu,Jose Mara (kulia) akifafanua jambo kwa Waandishi wa Habari (hawapo pichani) Wakati wa kutangaza Uzinduzi wa Albam yao ya pili itakayokwenda kwa jina la Yarabi Nafsi watakayoizindua Rasmi Machi 02, 2013 katika Ukumbi wa Business Park,Victoria jijini Dar es Salaam.
 Meneja wa Bendi ya Mapacha Watatu,Hamis Dakota (katikati) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) Wakati wa kutangaza Uzinduzi wa Albam yao ya pili itakayokwenda kwa jina la Yarabi Nafsi watakayoizindua Rasmi Machi 02, 2013 katika Ukumbi wa Business Park,Victoria jijini Dar es Salaam.Wengine pichani ni Wakurugenzi wa Bendi hiyo,Jose Mara (kulia) na Khalid Chokoraa (kushoto).
Wakurugenzi wa Bendi Mapacha Watatu,Jose Mara (kulia) na Khalid Chokoraa (kushoto) wakionyesha kava ya albamu hiyo mpya.
Muimbaji Mpya wa Bendi ya Mapacha Watatu,Kambi Seti akiimba moja ya nyimbo za bendi hiyo leo Wakati wa kutangaza Uzinduzi wa Albam yao ya pili itakayokwenda kwa jina la Yarabi Nafsi watakayoizindua Rasmi Machi 02, 2013 katika Ukumbi wa Business Park,Victoria jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad