Wajumbe wa Baraza Kuu la Usalama wakiwa katika majadiliano ya wazi, yaliyohusu ulinzi wa amani, ujenzi wa amani na maendeleo, majadiliano hayo yamefanyika siku ya jumatatu na kufunguliwa na Katibu Mkuu Ban Ki Moon, Tanzania kupitia Mwakilishi wake wa Kudumu, Balozi Tuvako Manongi, imesisitiza Baraza hilo kuendelea kuunga mkono juhudi mbalimbali zinazolenga kurejesha amani ya kudumu katika DRC hususani eneo la Mashariki ya nchi hiyo.
Tuesday, January 22, 2013

Home
Unlabelled
TANZANIA YATAKA BARAZA KUU LA USALAMA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA KULETA AMANI DRC
TANZANIA YATAKA BARAZA KUU LA USALAMA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA KULETA AMANI DRC
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment