HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 16, 2013

Namba za Usajili za magari haya ziko wapi???

 Katika pita pita zangu za kuendeleza libeneke la Mtaa kwa Mtaa,nikifika maeneo ya Bunju jijini Dar na kukutana na Malori haya yakiwa barabarani yakiendelea na shughuli zake huku yakiwa hayana vibao vyenye namba za usajili za Gari,sasa nikaanza kujiuliza kuwa inamaana magari haya hayaruhusiwi kuwa na vibao vya namba za usajili ni namna gani?

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad