Shehena ya Makopo Chakavu ikiwa kwenye pikup huku moja likiwa chini likifanyiwa maarifa mara baada ya kuanguka na kupasuka katika eneo la Tazara jijini Dar.Biashara ya makopo haya imekuwa ikizidi kushika kasi kadri siku zinavyokwenda na yamekuwa si uchafu tena na badala yake yanaitwa dili.
Tuesday, January 15, 2013

Home
Unlabelled
Biashara ya Makopo Chakavu yazidi shika kasi hapa nchini
Biashara ya Makopo Chakavu yazidi shika kasi hapa nchini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment