HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, January 20, 2013

Barabara ya Lindi Mtwara mambo si Shwari.....

Hii ndio hali ilivyo katika barabara kuu iendayo Lindi na Mtwara kufuatia Mvua zinazoendelea kunyesha hivi sasa katika maeneo hayo.Abiria wa Mikoa hiyo wamekuwa katika wakati mgumu kutokana na magari mengi kunasa kwenye tope lililotoea kutokana na kuharibika kwa barabara hiyo,baada ya kukaa kwa muda mrefu,msaada wa kampuni ya Kharafy and sons -mkandarasi wa barabara hiyo ya km 60 alifika eneo la tukuo na kusaidia kuvutwa magari yaliyonasa.Picha na Mdau Abdulaziz Video,lindi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad