HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, December 21, 2012

VODACOM YAWAKABIDHI ZAWADI ZAO WASHINDI WA PROMOSHENI YA SHINDA NA NOKIA

Mkazi wa Buza nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, Eusedia Donald, (katikati) akipokea zawadi ya simu aina ya Nokia 302 kwenye duka la Vodacom lililopo eneo la Mlimani City Dar es Salaam leo, kutoka kwa Meneja Mauzo wa duka hilo Salim Salmin (Kulia) kufuatia promosheni ya shinda na Nokia inayoendelea. (Kushoto) ni mwakilishi wa Nokia Magreth Tendwa.
Meneja Mauzo wa Duka la Vodacom Mlimani City, Salim Salmin (Kushoto) akimkabidhi mshindi wa promosheni ya Shinda na Nokia inayoendelea katika msimu huu wa sikukuu, Selemani Methusela, mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam zawadi ya Nokia Asha 306. Makabidhiano hayo yalifanyika kwenye Duka la Vodacom lililopo Mlimani City Dar es Salaam leo.
Mkazi wa Kibamba, Dar es Salaam, Alfred Mwandika ,akipokea zawadi yake ya T-Shirt toka kwa Meneja Mauzo wa Duka la Vodacom Mlimani City, Salim Salmin (Kushoto) aliyojishindika katika promotion ya Shinda na Nokiamsimu huu wa sikukuu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad