HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, December 24, 2012

Usafiri wa Mikoani Kipindi cha hiki,Wakatisha tiketi ngumi mkononi.

Abiria waliokuwa wanategemea kusafiri na Basi la Saibaba kuelekea mkoani Arusha wakisubiri kupanda katika Kituo Kikuu cha mabasi Ubungo,jijini Dar.
"Nshasema mie,wale ni abiria wangu.maana niliwawahi toka getini"Hawa ni wakatisha tiketi wa Kituo Kikuu cha mabasi Ubungo Dar es Salaa wakigombania abiria kwa ajili ya kuwakatia tiketi

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad