Bia ya Ndovu Special Malt inayotengenezwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),mwishoni mwa wiki iliyopita ilifanya party babkubwa ya kuuaga mwaka wa 2012 na kuukaribisha mwaka 2013 ikiwa ni maalum kwa wadau wake,iliyofanyika kwenye Bwalo la Polisi (police officers mess),Masaki jijini Dar es Salaam.ambapo wadau mbalimbali waliweza kuhudhulia hafla hiyo,kama inavyooneka katika picha kedekede hapo chini.
Monday, December 17, 2012

Home
Unlabelled
Party ya funga mwaka ya Bia ya Ndovu Special Malt yafana sana
Party ya funga mwaka ya Bia ya Ndovu Special Malt yafana sana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
nice pictures, but most of them seems to be of SELF SHOW rather than NDOVU SHOW
ReplyDeletetrue
ReplyDeleteA heap of kudos to all of them
ReplyDeleteIts a nicer way to know who can sell the product on BillBoards - Review the images again to find the best image for road show on BillBoards
ReplyDelete