Ile kauli ya Waswahili kuwa Za Mwizi ni Arobaini,ndio ilifikia kwa ndugu huyu aitwae Khasim Ramadhan ambaye ni kiboko kwa uwizi wa vifaa vya magari ya Watu hapa jijini Dar es Salaam,zikiwemo Side mirror,power window,taa za magari na vitu vingine kibao.Mtuhumiwa huyu alidakwa hivi karibuni maeneo ya Mbezi Beach katika hotel ya Farway,baada ya kumuibia Mdau mmoja wa mkazi wa Dar ambaye aliweza kumkata kwa kutumia mtandano wa kiteknolojia ya compyuta na kutiwa nguvuni na wanausalama.
Tuesday, December 18, 2012

Home
Unlabelled
MWIZI WA VIFAA KIBAO VYA MAGARI YA WATU JIJINI DAR
MWIZI WA VIFAA KIBAO VYA MAGARI YA WATU JIJINI DAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment