HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, November 3, 2012

Ndugu wa Marehemu Stella Samwel Mwita aliekuwa hospitali ya Muhimbili

Marehemu Stella Samuel Mwita (32)
Mgonjwa Stella  Samuel Mwita mwenye umri wa miaka 32 amefariki dunia  Novemba 2, 2012 saa 12 asubuhi katika Idara ya Magonjwa ya Akili Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa toka Septemba 2012. 
 Stella alikuja Dar es Salaam kutokea Mtwara miaka mingi iliyopita na wakati wa ugonjwa wake hakupata kutembelewa na ndugu yeyote yule.
Shughuli za mazishi zinasubiri ndugu wa marehemu. Mungu ailaze roho yake pema peponi.
 Yeyote anayemfahamu Marehemu huyu A naomba awasiliane na Ofisi ya Uhusiano kupitia  0755 64 86 36 wakati wowote kuanzia sasa kwa taarifa zaidi.



Imetoloewa na;
Aminiel Aligaesha
Afisa Uhusiano Mwandamizi
Hospitali ya Taifa Muhimbili

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad