HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, November 9, 2012

sauti za busara yakanusha kumdhulumu Bi Kidude

 Mkurugenzi wa Sauti ya Busara Yussuf Mahamoud akitoa maelezo namna walivyokutana na Msanii Mashuhuri Mkongwe Bi Kidude Binti Baraka hadi kufikia kumtunzia Fedha zake, akionesha Risiti ambazo Msanii huyo Mashuhuri alizochukulia Fedha.
 Meneja wa Mradi wa Sauti ya Busara Journey Ramadhani akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari i  kupinga maelezo yaliotolewa na Mtoto wa Kaka wa Msanii Mashuhuri Mkongwe Bi Kidude Binti Baraka, Baraka khamis, alioyatoa katika vyombo vya Habari akielezea kuwa Sauti ya Busara imedhulumu  Mali za Msanii huyo leo katika Ukumbi wa Habari Maelezo Kikwajuni Zanzibar.
Mwandishi wa Habari wa Channel Ten Tv Muniyr Zakaria akiuliza maswali katika Mkutano wa Sauti ya Busara hapo katika Ukumbi wa Habari Maelezo Kikwajuni Zanzibar.PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad