Katika Channel Ten TV leo saa moja na nusu usiku kutakuwa na mahojiano aliyofanyiwa Mwanalibeneke Maggid Mjengwa na Hoyce Temu (pichani). Itahusu zaidi masuala ya Uhuru wa Vyombo Vya Habari na nafasi ya Mitandao ya Kijamii kwenye kukuza demokrasia na changamoto zake. Anakuomba Usikose!
Sunday, November 11, 2012

Home
Unlabelled
maggid mjengwa kuunguruma channel ten TV leo saa moja na nusu jioni
maggid mjengwa kuunguruma channel ten TV leo saa moja na nusu jioni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment