HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, November 19, 2012

Dk. Mary Nagu aongoza matembezi ya hisani ya kuchangia ujenzi wa mabweni ya wanafuzi wa kike nchini

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji Dk. Mary Nagu (katikati) akiongoza matembezi ya hisani ya kuchangia ujenzi wa mabweni ya wanafuzi wa kike. Kulia ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Rosemary Lulabuka (kulia) na kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Dk. Naomi Katunzi. (Picha na Habari Mseto Blog)
 Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Makongo wakishiriki katika matembezi ya hisani ya kuchangia ujenzi wa mambweni ya wasichana  yaliyoanzania Mlimani City na kuishia katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam jana. Jumla ya sh. milioni 50  ikiwa ni pamoja na ahadi zilipatikana.
Matembezi yakiwa yameshika kasi
Baadhi ya wadau walioshiriki matembezi hayo.
 Mkurugenzi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Rosemary Lulabuka
 Balozi wa kampeni ya kuchangia ujenzi wa mabweni ya wanafunzi wasichana
  Balozi wa kampeni ya kuchangia ujenzi wa mabweni ya wanafunzi wasichana
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji Dk. Mary Nagu 
 Naibu Waziri wa Maliasilia na Utalii, Lazaro Nyarandu akiwa na mke wake ambaye pia ni balozi wa kampeni ya kuchangia ujenzi wa mabweni ya wanafunzi wasichani, Faraja Nyarandu ambapo alichangia sh. milioni 10 kwa ajili ya kusadia ujenzi ya wasichana 
  Naibu Waziri wa Maliasilia na Utalii, Lazaro Nyarandu akipeana mkono na Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Dk. Naomi Katunzi baada ya kuchangia sh. milioni 10
 Michango ikiendelea kukusanywa kwa njia ya mitandao
 Wadau wakiselebuka
 Barnabas Elius akitumbuiza wakati wa hafla ya kuchangia ujenzi wa mabweni ya wanafunzi wa kike
 Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Baobab (katikati) akiimba pamoja na wanamuziki wa bendi ya THT wakati wa matembezi ya hisani ya kuchangia ujenzi wa hosteli za wanafunzi wa kike yaliyoanzia Mlimani City na kumalizikia katika viwanja vya Chuo Kikuu jijini Dar es Salaam.
Mwanafunzi wa shule ya Sekondari Baobab, Khadija Nuru akisoma risala kwa niaba ya wanafunzi wenzake ambao walichangia kiasi cha sh. milioni 1

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad