HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 21, 2012

CRDB YADHAMINI KONGAMANO LA KIMATAIFALA VYUO VIKUU VYA AFRIKA MASHARIKI NA KATI (AIESEC)

 Mmoja kati ya wajumbe waliohudhuria kongamano la kimataifa la vyuo vikuu vya Afrika Mashariki na Kati (AIESEC) lililofanyika Mkoa wa Kusini Unguja na kuwashirikisha vijana wasomi akibadilishana mawazo na Ofisa Mwandamizi wa CRDB anayeshughulikia Huduma kwa Wateja, Silas Katemi (kushoto) na Ofisa Uhusiano wa benki hiyo, Nassib Kalamba. 
 Ofisa Masoko wa CRDB, Janerose Mwombela akitoa ufafanuzi kuhusu huduma na bidhaa za benki ya CRDB kwa wajumbe waliohudhuria kongamano la kimataifa la vyuo vikuu vya Afrika Mashariki na Kati (AIESEC) lililofanyika Machui Mkoa wa Kusini Unguja na kuwashirikisha vijana wasomi.
 Mmoja kati ya wajumbe waliohudhuria kongamano la kimataifa la vyuo vikuu vya Afrika Mashariki na Kati (AIESEC) lililofanyika Mkoa wa Kusini Unguja na kuwashirikisha vijana wasomi akibadilishana mawazo na Ofisa Mwandamizi wa CRDB anayeshughulikia Huduma kwa Wateja, Silas Katemi (kushoto) na Ofisa Uhusiano wa benki hiyo, Nassib Kalamba.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Posta Tanzania, Sabasaba Moshingi akizungumza na na wanavyuo katika kongamano hilo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad