HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, October 19, 2012

msako wa wanaotumia gari binafsi kwa namba za serikali kuanza nchi nzima


Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (kushoto) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam kusisitiza utaratibu wa usajili wa magari ya Umma unafuatwa na kutafanyika zoezi rasmi la kurejesha usajili wa magari yote.Serikali imetoa muda wa hadi kufikia Novemba 15,2012 magari ya Umma yaliyo na namba za kiraia, yarejeshwe namba stahiki za magari ya Umma . Baada ya hapo Operesheni hiyo itakamata magari, pikipiki, bajaj na mitambo ya umma,Vilevle kutakuwa na aina ya namba za usajili zitakazotumika kama ST, PT, MT,JW, DFP, CW, SM na ,SU.Hadi sasa serikali imesajili vyombo vya moto,123,431 yakiwemo magari,,pikipiki,bajaj na mitambo ya umma.Kulia ni Mkuu wa Polisi kikosi cha Usalama barabarani,Kamanda Mohamed Mpinga
Kaibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Balozi Hebert Mrango (ailesimama)akifafanua jambo wakati wa mkutano wa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.
"kuna walionununua magari ya serikali lakini bado hawajayabadilisha namba za usajili" ndivyo anavyoonekana kukumbusha kamanda Mpinga kwa Waziri Magufuli.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad