HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 2, 2012

Kambi ya Redd's Miss Tanzania yaanza rasmi leo


 Mkuu wa Itifaki wa Kamati ya Miss Tanzania,Albert Makoye (kushoto) akizungumza na Warembo wa Redd's Miss Tanzania walioingia kambini leo kwenye hoteli ya Geraffe,jijini Dar es Salaam.Jumla yaWarembo 30 wameingia katika kambi hiyo leo.
 Baadhi ya Warembo wa Redd's Miss Tanzania wakiwasili katika Hoteli ya Geraffe,jijini Dar es Salaam leo.
 Baadhi ya Warembo wa Redd's Miss Tanzania wakipata chakula cha Mchana leo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad