Mkuu
wa Itifaki wa Kamati ya Miss Tanzania,Albert Makoye (kushoto)
akizungumza na Warembo wa Redd's Miss Tanzania walioingia kambini leo
kwenye hoteli ya Geraffe,jijini Dar es Salaam.Jumla yaWarembo 30 wameingia katika kambi hiyo leo.
Baadhi ya Warembo wa Redd's Miss Tanzania wakiwasili katika Hoteli ya Geraffe,jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya Warembo wa Redd's Miss Tanzania wakipata chakula cha Mchana leo.
No comments:
Post a Comment