HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, September 20, 2012

WAISILAMU KESHO KUKUSANYIKA JANGWANI NI BAADA YA SALA YA IJUMAA LENGO NI KULAANI FILAMU YA KUMKAMTUME WAO.

Amiri waShura ya Maimamu nchini Sheikh Musa Kundecha (kulia) akiwa na Masheikh wa Taasisi ya Umoja wa Wanazuoni wa Kiisilamu Tanzania kwenye Msikiti wa Kichangani jijini Dar es Salaam jana wakati wa kutangaza hatua za kuchukua dhidi ya Filamu iliyotengenezwa na wamarekani ya kumkashifu Mtume Muhamad (SAW) ambapo wameazimia siku ya Ijumaa Kesho Waisilamu wote kukusanyika kwenye viwanja vya Jangwani kulaani Filamu hiyo mara baada ya sala ya Ijumaa.


Waumini wa dini ya Kiisilamu waliojitokeza kwa wingi kwenye kutangaza hatua hiyo wakati wa swala ya Alaasiri jioni jana.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad