Baadhi ya wadau wa sekta ya madini nchini na waandishi wa
habari wakifuatilia kwa makin vipindi vya
televisheni vilivyotayarishwa na Chama
Cha Madini na Nishati nchini vitakavyoonyeshwa kuanzia mwishoni mwa mwezi huu
kutoa elimu juu ya sekta ya madini nchini, wakati wa uzinduzi wake jijini Dar es Salaaam
jana.
Mwenyekiti na Afisa
Mtendaji Mkuu wa Chama Cha Madini na Nishati nchini Joseph Kahama akizungumza
na waandishi wa habari mara baada ya kuzindua mfululizo wa vipindi vine vya
televisheni vitakavyoonyeshwa kuanzia mwishoni mwa mwezi huu kutoa elimu juu ya
sekta ya madini nchini.
Waandishi kazini.
No comments:
Post a Comment