HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, September 2, 2012

Unaweza kupiga Makachu kama Jamaa hawa??

Watu kibao hufurika katika Bustani za Forodhani mjini Zanzibar nyakati za jioni ili kuangalia mashindano ya vijana na watoto wa Kizanzibar wakipiga Makachu majini (kupiga mbizi) ikiwa ni moja ya viburudisho vinavyopatikana katika eneo hilo

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad