Meneja wa Matukio wa TBL Kanda ya ziwa,Erick Mwayela (kushoto) na Meneja wa bia mpya ya Faru Kabula Nshimo, wakigongesha chupa na timu ya promosheni ya bia hiyo wakati wa uzinduzi wake jijini Mwanza jana.
Meneja wa bia mpya ya Faru Kabula Nshimo akionyesha muonekano wa bia hiyo mpya iitwayo Faru.
No comments:
Post a Comment