Mshindi wa Redd's Miss Lake zone 2012/13,Eugene Fabian (katikati) kutoka Mara akiwa katika sura ya furaha mara baada ya kutangazwa rasmi kuwa mshindi wa taji hilo, Kushoto kwake ni mshindi wa Tatu Happiness Rweyemamu kutoka Shinyanga na Kulia kwake ni mshindi wa pili Happiness Daniel kutoka Mwanza. Washindi hawa watatu watawakilisha Kanda ya ziwa katika shindano la taifa linalotarajiwa kufanyika baadaye mwezi ujao. Mshindi wa kwanza ameondoka na kitita cha shilingi Laki 7, mshindi wa pili laki 5 na mshindi wa tatu laki nne na nusu
Monday, September 24, 2012

Home
Unlabelled
Eugene Fabian ndie Redd's Miss Lake zone 2012
Eugene Fabian ndie Redd's Miss Lake zone 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment