HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, August 29, 2012

TBL Yazindua kwa shangwe Kinywaji cha Maltiza Jijini Mwanza

Moja kati ya mabalozi wa kinywaji cha Maltiza,Balidina Constatin (kulia) akiwaonyesha wateja kinywaji hicho kipya ambacho kinatengenezwa na kampuni ya bia Tanzania (TBL) ambacho hakina kilevi kwenye uzinduzi uliofanyika jana katika kiwanja cha Furahifisha jijini Mwanza.
Kundi Wasafi Classic Hatupendi dharau likikonga nyoyo za watu wakati wa uzinduzi wa kinywaji kipya cha Maltiza,katika viwanja vya Furahisha jijini Mwanza.
Kundi la sanaa la Africa Bamus wakiwa wamebeba mfano wa kopo za kinywaji kipya cha Maltiza wakionyesha kwa wadau waliohudhulia uzinduzi huo uliofanyika jana kwenye viwanja vya Furahisha jijini Mwanza.
Sehemu ya wananchi waliohudhulia uzinduzi huo wakionja kwa furaha kubwa ladha ya kinywaji cha Maltiza mara baada ya uzinduzi huo uliofanyika jana jijini Mwanza kwenye viwanja vya Furahisha.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad