HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 20, 2012

ndinga la Faya lapiga mweleka Barabara ya Morogoro rodi jijini Dar leo

 Gari la zimamoto la Manispaa ya jiji la Dar es Salaam likiwa limepata ajali katika barabara ya Morogoro jijini Dar es Salaam majira ya asubuhi. 
 Hali ndivyo livyokuwa.
 Barabara ilikuwa imefungwa na kusababisha msongamano mkubwa.
 Magari yakiwa katika msongamano mara baada ya kutokea ajali na kusababisha kufungwa kwa barabara. 
Mtangazaji wa ITV, Bw. Sam Mahela akifanya mahijiano na Kaimu Kamishna wa Usalama wa Umma Bw. Fikiri  akielezea jinsi tukio lilivyotokea.Picha na Libeneke la Kajunason Blog.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad