Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe.Latifa Mansoor kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika Hafla fupi iliyofanyika leo asubuhi Ikulu, Dar es salaam
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe.Joaquine Antoinette De-Mello kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika Hafla fupi iliyofanyika leo asubuhi Ikulu, Dar es salaam
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe. John Samwel Mgetta kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika Hafla fupi iliyofanyika leo asubuhi Ikulu, Dar es salaam. Karibu na kamera ni Jaji Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe. Sam Mpaya Rumanyika kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika Hafla fupi iliyofanyika leo asubuhi Ikulu, Dar es salaam. Karibu na kamera ni Jaji Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe.Salvatory Benmedict Bongole kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika Hafla fupi iliyofanyika leo asubuhi Ikulu, Dar es salaam. Karibu na kamera ni Jaji Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe. Mathew Pauwa Mhina Mwaimu kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika Hafla fupi iliyofanyika leo asubuhi Ikulu, Dar es salaam. Karibu na kamera ni Jaji Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe. Jacob C.M. Mwambegele kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika Hafla fupi iliyofanyika leo asubuhi Ikulu, Dar es salaam. Karibu na kamera ni Jaji Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman. Kwa mapicha zaidi BOFYA HAPA.
No comments:
Post a Comment