HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, May 21, 2012

MKUTANO WA EPA WAMALIZIKA ARUSHA

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara wa Tanzania Dkt Shaaban Mwinjaka ( Wa nne kutoka kushoto waliokaa) akiwa na Wajumbe wa Mkutano wa Jumuiya za kikanda za Afrika zinazojadiliana kuhusu ushirikiano wa ki uchumi kati ya jumuiya hizi za Afrika na wenzao wa Ulaya kupitia mkataba wa Ubia wa Ki uchumi (EPA). Mkutano huu ni wa kwanza kwa mwaka huu, uliandaliwa na Tume ya Umoja wa Afrika kwa kushirikiana na Jumuiya ya Afrika Mashariki na kufanyika mjini Arusha Tanzania mwishoni mwa wiki.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad