HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 25, 2012

Jengo la Ofisi za Tume ya Kuratibu na Udhibiti wa Madawa ya Kulevya lazinduliwa rasmi leo

 Kamishna wa Tume ya Kuratibu na Udhibiti wa Madawa ya Kulevya nchini,Christopher Shekiondo (kushoto) akiongea na waandishi wa habari pamoja na maofisa wa tume hiyo kabla ya kufanyika kwa uzinduzi wa Jengo la Ofisi hiyo,uliofanyika mchana huu kwenye Makao Makuu ya Tume hiyo,Upanga Mtaa wa Maliki jijini Dar es Salaam.
Kamishna wa Tume ya Kuratibu na Udhibiti wa Madawa ya Kulevya nchini,Christopher Shekiondo akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Jengo la Ofisi hiyo lililojengwa Suma JKT katika kipindi cha Mwaka wa Fedha wa 2006/07 ambalo limegharimu ya sh. Mil 700.Uzinduzi huo umefanyika mchana huu kwenye Makao Makuu ya Tume hiyo,Upanga Mtaa wa Maliki jijini Dar es Salaam.Wanaoshuhudia ni Baadhi ya Maofisa wa Tume hiyo.
 Kamishna wa Tume ya Kuratibu na Udhibiti wa Madawa ya Kulevya nchini,Christopher Shekiondo akifungua kitambaa kilichokuwa kimewekwa kwenye jiwe la Msingi wakati wa uzinduzi wa Jengo la Ofisi hiyo,uliofanyika mchana huu kwenye Makao Makuu ya Tume hiyo,Upanga Mtaa wa Maliki jijini Dar es Salaam.
 Jiwe la Msingi.
 Kamishna wa Tume ya Kuratibu na Udhibiti wa Madawa ya Kulevya nchini,Christopher Shekiondo (mwenye suti) akiwa kwenye picha ya pamoja na Baadhi ya Maofisa wa Tume hiyo muda mfupi baada ya kuzinduliwa rasmi kwa jengo lao.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad