Vijana waliomakatwa na meno ya Tembo waliokamatwa jana Mkoani Morogoro ambao walitambulikwa ka majina yao,Erick Kiari (kushoto) mwenye miaka 23, Abel Adrian (katikati) pia anamiaka 23 na Anaheri Mkindi ambaye umri wake ni miaka 17 wakiwa chini ya ulinzi katika kituo cha polisi mkoa wa Morogoro mara baada ya kukamatwa na meno ya tembo vipande 51 wakati wakisafiri kutoka mkoa wa Mbeya kwenda jijini Dar es Salaam kwa kutumia Gari yenye Namba DFP 3468 ambayo inadaiwa kuwa ilibandikwa tu na si Nambari zake za usajili na ilikuwa ni gari ya Mtu binafsi.Watuhumiwa hawa wanatarajiwa kupandishwa kizimbani kesho jumatatu ili kujibu mashtaka yao.
Saturday, February 11, 2012

Home
Unlabelled
Vijana wa tatu wakamakatwa na meno ya Tembo mjini morogoro
Vijana wa tatu wakamakatwa na meno ya Tembo mjini morogoro
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment