HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, January 6, 2012

shida ya usafiri Dar

Mwanadada akipanda daladala kwa kupitia dirishani,baada ya kuona mlangoni kuna zengwe.Picha na Mdau wa Mtaa wa Mtaa Blog.

3 comments:

  1. Wabunge washughulikie misongamano na tatizo la usafiri wa umma katika jiji na sio kukaa na kulumbana kwa kupanda nauli ya kivuko. Wananchi wanataabika. Ona mwanamama anavyoparamia hilo basi yatia uchungu. Hilo ni daladal la Ubungo Mh. Mnyika upo?

    ReplyDelete
  2. Wabunge wa DSM piganieni hili ndio Zengwe

    ReplyDelete
  3. Maalim macho yako kwenye ......tutaondoka wengi
    Ugwadu wa muwa,Toronto

    ReplyDelete

Post Bottom Ad