HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, December 31, 2011

TTCL YAGAWA MISADA MBALIMBALI JIJINI DAR

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Bw. Said Amir Said (kushoto) na Meneja Uhusiano wa Kampuni hiyo Bw. Amin Mbaga (kulia) wakikabidhi sehemu ya msaada walioutoa kwa Mkurugenzi wa Kijiji cha SOS kinacholea watoto yatima, Dkt. Alex Lengeju Dar es salaam jana kwa ajili ya sikukuu ya mwaka mpya.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Bw. Said Amir Said (katikati) na Meneja Uhusiano wa Kampuni hiyo Bw. Amin Mbaga (kulia) wakimkabidhi sehemu ya msaada walioutoa kwa Mratibu wa Maafa Manispaa ya Ilala Bw. Mwasabite Elioth kwa ajili ya watu waliokubwa na mafuriko.
Baadhi ya Maofisa kutoka Kampuni ya Simu Tanzania TTCL wakiwa katika picha ya pamoja na watoto yatima baada ya kuwapa vyakula mbalimbali kwa msimu huu wa sikukuuu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad