HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, December 16, 2011

TIE YENYE HISTORIA YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA


Mh. Balozi Peter Kalleghe na mke wake wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watu (kati) waliokuwepo wakati Tanzania Bara inapata uhuru mwaka 1961
Hii tie kwenye picha ni tie yenye miaka 50 na walipewa siku Tazania bara ilipo pata uhuru
TIE YENYE HISTORIA IKIWA NA MNYAMA WETU WA TAIFA 'TWIGA'
Mama Balozi akiiangalia tie kwa ukaribu
Agnes Kundy pia alipata naafasi yakuiangalia tie yenye historia
Image credit: www.jestina-george.com

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad