HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, December 31, 2011

Njia hii ikifanyiwa ukarabati itasaidia sana kupunguza poleni

Hii ni Njia ya kutokea Ubungo Extenal kuelekea Mabibo ambayo inaenda mpaka Ubungo Terminal,kwa sasa njia hii iko vibaya sana hasa kutokana na mashimo makubwa makubwa yaliyotokana na mvua zilizokuwa zikiendelea kunyesha jijini Dar.Ikifanyiwa ukarabati njia hii itasaidia sana kupunguza foleni katika Barabara ya Mandela road.
 Pia hili Daraja ni Tatizo,kwani ni dogo kiasi kwamba haziwezi pishana gari mbili.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad