HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, December 17, 2011

mdau balozi kindamba wa Prime Time Promotions aukacha ukapera

 Mdau Balozi Kindamba na Mkewe Bi. Rukia Kajiru wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya kumeremeta na kuwaka waka kwenye ukumbi wa Shaaban Robert,Upanga jijini Dar es Salaam.
 Mdau Balozi Kindamba akimvisha pete ya ndoa mai waifu wake.
Mdau Balozi akimwaga wino huku mluziii kwa mbaaaaaaaliiii ukisindikiza.
 Bi Harusi akipitisha macho kwenye cheti cha ndoa kabla ya kumwaga wino.
Maharusi wakiwa na wasimamizi wao.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad