HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, December 2, 2011

MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI YAFANA JIJINI MBEYA

Kaimu katibu tawala wilyaya ya Mbeya Geofrey Anania akihutubia wananchi wa jiji la mbeya wakati wa Maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani.
Daktari wa watoto toka hospital ya rufaa mbeya Dr. Brenda Anosike akielezea jinsi ya kuwatunza watoto waliopata maambukizi ya ukimwi.
Afisa mtendaji kata ya ilomba akipokea boksi la kondom toka kwa mgeni rasmi.
Wanafunzi wa shule ya msingi wakiimba kwa huzuni wimbo wa kuwakumbuka waliokufa kwa ukimwi.Picha na Mbeya yetu Blog.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad