Wachezaji wa timu ya soka ya Tanzania ‘taifa stars’ wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo wakitokea N’Djamena ambapo waliifunga timu ya taifa ya Chad kwa mabao 2-1. Timu hizo zinarudiana kesho katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande).
Kocha Mkuu wa Taifa Stars,Jan Paulsen akiongea na waandishi wa habari katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo.Taifa Stars wamewasili leo wakitokea N’Djamena nchini Chad kushiriki mchezo wa kimataifa ambapo waliifunga timu ya taifa ya Chad kwa mabao 2-1.
Wachezaji wa Timu ya Taifa wakiwa ndani ya Basi lao.
Washabiki wa wakiwa wameizunguka Basi iliyokuwa imewabeba wachezaji wa Timu ya Taifa.
angalau tim hii inaonyesha hakuna sura zilizokomaa
ReplyDelete