hizo ni kwa ajili ya wenyeji wa hukohuko mtu wa kigoma kagera sumbawanga humlishi ukakasi huo hata kwa mtutu wa bunduki wao wanandizi zao mtu yeyote hazimkinahi
hii ndio hali halisi ya maisha ya mtanzani miaka 50 sherehe kibao maneno mengi hakuwezekani kufanywa vitu vya msingi kuwakwamua(au kwasaidia) watu na hali ngumu ya maisha serikali fanya kazi kwa uadilifu
hizo ni kwa ajili ya wenyeji wa hukohuko mtu wa kigoma kagera sumbawanga humlishi ukakasi huo hata kwa mtutu wa bunduki wao wanandizi zao mtu yeyote hazimkinahi
ReplyDeletehehereeeeeeeee mitaa ya wapi hiyo, mchare original huo..
ReplyDeletehii ndio hali halisi ya maisha ya mtanzani miaka 50 sherehe kibao maneno mengi hakuwezekani kufanywa vitu vya msingi kuwakwamua(au kwasaidia) watu na hali ngumu ya maisha serikali fanya kazi kwa uadilifu
ReplyDeletemi napenda mchare wetu wa moshi - ngumu mgumu... kuna ndizi za sehemu flani flani zile ndizi laini laini nikila naharisha..
ReplyDelete