HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, November 24, 2011

NAIBU WAZIRI WA REDIO,FILAMU NA TELEVISHENI WA CHINA AONGOZA MAFUNZO YA LUGHA YA KICHINA KWA WANAHABARI ZANZIBAR

 Mkufunzi wa Lugha ya kichina YU WEN JUAN akiwa katika ufundishaji wa lugha hio hapo katika chuo cha uwandishi wa habari kiliopo Vuga Mjini Zanzibar.
 Mkufunzi wa lugha ya kichina YU WEN JUAN akiwaonesha wanafunzi kikaratasi kilicho andikwa lugha ya  kichina katika chuo cha uwandishi wa habari huko Vuga Zanzibar.
Naibu Waziri wa Mamlaka ya Redio,Filamu na Televisheni wa Jamhuri ya watu wa China LI WEI akizungumza na wanafunzi wanaofundishwa lugha ya kichina katika chuo cha Uwandishi wa Habari huko Vuga mjini Zanzibar.PICHA ZOTE NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad