HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, November 14, 2011

haki sawa kwa vyombo vyote vya usafiri

Baiskeli iliyokuwa imepambwa kwa dawa za kuua wadudu ikiwa ikeachwa barabarani na kutojulikana alikoelekea mwenye nayo,pamoja na kwamba barabara hii ilikuwa na foleni kubwa lakini kwa upande mwinyine ilisababishwa na baiskeli hii.sasa sijui ilikuwa imebuma na mwenyewe akaona ni bora aiache hapo ili akamchukue fundi Juma ili aje kuifanyia mambo hapo hapo..??!!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad