HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 4, 2011

ZOEZI LA SENSA YA MAJARIBIO 2011 LAENDELEA ZANZIBAR


Mdadisi wa Sensa ya Majaribio ya watu na Makazi 2011 Bw. Alawi Ally akiendelea na zoezi la kukusanya takwimu za sensa hiyo eneo la Chukwani Zanzibar.
Mdadisi wa Sensa ya Majaribio ya Watu na Makazi 2011 kutoka Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Zanzbar Bi.Mwanahawa Yahaya (kulia) akiendelea na zoezi la kuuliza maswali na kujaza fomu za dodoso refu katika eneo la Regeza Mwendo, Chukwani Zanzibar leo.
Wadadisi wa Sensa ya Majaribio ya watu na Makazi ya mwaka 2011 wakiendelea na zoezi la kupita nyumba nyumba hadi nyumba wakiongozwa na mjumbe/sheha wa Shehia ya Regeza Mwendo Bw.Ally Nassoro (katikati) Zanzibar.Picha na Aron Msigwa – MAELEZO.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad