HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, September 1, 2011

Papazi mdhamini mwenza Vodacom Miss Tanzania 2011


Mkurugenzi wa Papazi, Bw. Hans Pope akizungumza wakati wa kutangaza udhamini wa kampuni yake katika shindano la Vodacom Miss Tanzania uliofanyika jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Mkurugenzi wa Lino International Agency, waandaaji wa shindano la Miss Tanzania, Anko Hashim Lundenga. 
 washiriki wa shindano la Vodacom Miss Tanzania wakiwa katika pozi. Papazi imesema warembo watatu watakaopenda kujiingiza katika Ulimwengu wa sanaa za maigizo watafadhiliwa na kampuni hiyo pamoja na Miss Papazi atake pata US 1000. Pia Kampuni hiyo itaongeza zawadi kwa washindi wa tatu wa mwanzo. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad