HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, September 3, 2011

Dj Venture na Benadina wameremeta leo

 Bonventure Kilosa "Dj Venture" akiwa na mai waifu wake Benadina huku wakionyesha nondozz zao mara baada ya kumeremeta leo kwenye kanisa la Mtakatifu Martha lililopo Mikocheni B,jijini Dar.
Dj Venture akimwanga wino kwenye Nondoz ya ndoa mchana wa leo.
 Shemeji nae akimwaga wino huku Dj Venture akimcheki kuhakikisha hakosei. 
Venture akila kiapo cha ndoa.
 Maharusi wakijadiliana jambo.
Maharusi na wapambe wao wakiwa kanisani.
picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad