HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, August 31, 2011

Watoto wakitoka Kutafuta Maji

Kamera ya Mtaa Kwa Mtaa imewanasa Watoto hawa maeneo ya Kihalaka,Bagamoyo wakitoka kuteka maji kwenye kisima kilichopo mbali kidogo na makazi yao.hii ni kutokana na uhaba wa upatikanaji wa Maji katika maeneo hayo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad