HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, August 31, 2011

mambo ya usalama barabarani

 Askari wa Usalama Barabarani wakiwa katika malumbano na Dereva wa gari waliekuwa wamemkamata katika maeneo ya Sayansi Kijitonyama,jijini Dar wakati wakiendelea na utaratibu wao wa ukaguzi wa magari mbali mbali jijini.
Ukaguzi ukiendelea maeneo ya njia panda ya Kawe.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad