HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 29, 2011

Mashindano ya Airtel Rising Stars yaendelea kwa hatua ya nusu fainali

Mshambuliaji wa timu ya soka ya Shule ya Sekondari Msongola, Ally Shaaban akiwatoka walinzi wa Alphonce Mathias (kulia) na Shukuru Mbaraka , wakati wa mchezo wa nusu fainali wa ligi ya soka ya vijana chini ya miaka 17 kwa shule za sekondari ya Airtel Rising Stars, uliofanyika uwanja wa Karume, Dar es Salaam
Mshambuliaji wa timu ya soka ya Shule ya Sekondari Msongola, Amos Juma akizuiwa na kipa wa Jitegemee, wakati wa mchezo wa nusu fainali wa ligi ya soka ya vijana chini ya miaka 17 kwa shule za sekondari ya Airtel Rising Stars
Mshambuliaji wa timu ya soka ya Shule ya Sekondari Msongola, Amos Juma (kushoto), akikabiliana na beki wa Jitegemee, Alphonce Mathias wakati wa mchezo wa nusu fainali wa ligi ya soka ya vijana chini ya miaka 17 kwa shule za sekondari ya Airtel Rising Stars

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad