Waziri wa mambo ya Nje wa Marekani Mama Hillary Clinton akiongea baada ya kutembelea mtambo wa kufua umeme wa kampuni ya Kimarekani ya Symbion Power Ubungo, jijini Dar es salaam jana.Mjomba Ankal (shoto) akisabahiana na Waziri wa Nishati na Madini, Mh. William Ngeleja wakati wa ziara ya Waziri wa mambo ya Nje wa Marekani Mama Hillary Clinton katika mitambo ya kufua umeme ya Symbion Power iliyopo Ubungo, jijini Dar es salaam.
Mama Clinton akiwa katika mtambo wa kufua umeme wa Symbion Power.

No comments:
Post a Comment