HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, June 6, 2011

VIBEZ GROOVE NITE - CLUB FOR STAR - MOROGORO

USIKOSE...Usiku utakaopambwa na burudani ya muziki wa disco la aina yake kuanzia enzi za hizo mpaka sasa.Ni kutoka kwa Madj wakali kabisa..hii ni kwa wakazi wa Morogoro na maeneo ya jirani kama vile, Chuo Cha Mzumbe, Sua, Kihonda, Forest Hill na maeneo yote.

-Oldies- RnB-Hip Hop-Kwaito- Afro Beat- Bongo Fleva-
- Naija-Ragga-90's-

Dj Flip (Tz) , Dj Gordon (Tz)
&
Dj Nestar (Finland)

Muda Kuanzia: 3 Usiku mpaka kuchwee

Kiingilio: 6,000 tu..(mlangoni)

USIKOSE HII ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,!!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad