USIKOSE...Usiku utakaopambwa na burudani ya muziki wa disco la aina yake kuanzia enzi za hizo mpaka sasa.Ni kutoka kwa Madj wakali kabisa..hii ni kwa wakazi wa Morogoro na maeneo ya jirani kama vile, Chuo Cha Mzumbe, Sua, Kihonda, Forest Hill na maeneo yote.
-Oldies- RnB-Hip Hop-Kwaito- Afro Beat- Bongo Fleva-
- Naija-Ragga-90's-
Dj Flip (Tz) , Dj Gordon (Tz)
&
Dj Nestar (Finland)
Muda Kuanzia: 3 Usiku mpaka kuchwee
Kiingilio: 6,000 tu..(mlangoni)
USIKOSE HII ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,!!
No comments:
Post a Comment