Dogo, Huo ni mtaa wa Ohio, MAJENGO YA TDFL. Wapelekee ujumbe watu wa wizara ya mambo ya ndani kuwa kajengo kao mtaa huo kanachafua hali ya hewa, kwani hakaendani na mtaa ulivyokaa. Pia posta jengo lao walipige soap kidogo. Basi mtaa utaweza kuonekana kama tupo J'burg vile
Umepigia Movenpick Hotel, ila hayo Majengo mbele watu wengi hawajui yapo kwenye utawala wa waengereza Karibu Mtaamzima yapo chini ya Royal ya Kingdom ya UK. Nchi yetu bwana Bado tupo kwenye utawala Mali zote tunawapa bado. Africa wakijuwa kupunguza Ufisadi na Kuwa United pamoja na South America Basi Europe hasa Britain inakufa na njaa... Tanzania jengine Wasomi wengi wakimaliza wanakimbilia Fani sio zao kwa tamaa ya pesa Bora hata aliyekuwa hajasoma Mtu unasoma Miaka 4 au 12 Chuo alafu unaenda Fani sio yako sasa ndio umefanya nini? MZ
dogo nchi yenu lazima mtawaliwe tu umasikini lzm uendelee tu utake usitake wasomi hamna tena hao wa udsm du mmefulia kwakweli poleni sana na usomi sio kuongea saaaaaaaaaaana kama mlivyozoea wabongo
Opposite na Movenpick Hotel.
ReplyDeleteOpposite na Movenpick Hotel
ReplyDeleteDogo,
ReplyDeleteHuo ni mtaa wa Ohio, MAJENGO YA TDFL. Wapelekee ujumbe watu wa wizara ya mambo ya ndani kuwa kajengo kao mtaa huo kanachafua hali ya hewa, kwani hakaendani na mtaa ulivyokaa. Pia posta jengo lao walipige soap kidogo. Basi mtaa utaweza kuonekana kama tupo J'burg vile
Umepigia Movenpick Hotel, ila hayo Majengo mbele watu wengi hawajui yapo kwenye utawala wa waengereza Karibu Mtaamzima yapo chini ya Royal ya Kingdom ya UK. Nchi yetu bwana Bado tupo kwenye utawala Mali zote tunawapa bado. Africa wakijuwa kupunguza Ufisadi na Kuwa United pamoja na South America Basi Europe hasa Britain inakufa na njaa... Tanzania jengine Wasomi wengi wakimaliza wanakimbilia Fani sio zao kwa tamaa ya pesa Bora hata aliyekuwa hajasoma Mtu unasoma Miaka 4 au 12 Chuo alafu unaenda Fani sio yako sasa ndio umefanya nini? MZ
ReplyDeletedogo nchi yenu lazima mtawaliwe tu umasikini lzm uendelee tu utake usitake wasomi hamna tena hao wa udsm du mmefulia kwakweli poleni sana na usomi sio kuongea saaaaaaaaaaana kama mlivyozoea wabongo
ReplyDelete