Leo ni siku ya kuzaliwa ya Mdau mkubwa katika maswala ya KuBlog na muendesha libeneke wa siku nyingi,Bw. Haki Ngowi (pichani).Blog ya MTAA KWA MTAA inamtakia maisha marefu na muendelezo mzuri wa kulisongesha libeneke hili kufika mbali zaidi na zaidi.
HERI YA SIKUKUU YA KUZALIWA KAKA HAKI NGOWI.
waweza fikisha salamu zako za besdei kwa
kubofwa
HAPA.
kumbe tupo wengi tuliozaliwa tarehe hii. Hongera kaka!!!
ReplyDelete