HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, November 15, 2010

Wavuvi Kazini

wakielekea kutega nyavu zao,tayari kwa kusaka vitoweo
wakiweka sawa mambo ili kunasa samaki.
yaonekana mambo yalikuwa magumu katika eneo hilo na kuamua kulisitisha zoezi hilo na kuondoka kabisa.hapa ni mbele kidogo ya ufukwe hoteli ya Sea Cliff,wikiendi hii.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad