HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, November 9, 2010

Diamond akutana na Chris Gold Finger


Salam,

Baada ya makamuzi ya kufa mtu kituo kinacho fuata Ni The Club Croydon tarehe 12.11.10 ambapo Diamond pamoja na Mish The fyah sis watafanya kweli wakiongozwa na Legendary Dancehall Master DJ Chris Gold finger kwa ajili ya kuchangia war on malaria.
wote Mnakaribishwa

URBAN PULSE CREATIVE MEDIA
urbanpulsecreative@googlemail.com

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad