HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 26, 2010

wenye ulemavu kupata msaada kutoka ABILIS

Tafadhali naomba chapisha kwenye blogu/tovuti yako nafasi hii njema kwa ajili ya wenye ulamavu kuweza kupata msaada toka ABILIS kwa ajili ya miradi yao. 

Tanzania ni mojawapo ya nchi sita tu zilizotengwa maalum kwa ajili ya kunufaika na 'funds' hizi. Linki yenye maelezo ni :



Asante!

Subi

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad